Mshambuliaji Mbrazil wa Simba SC, Wilker Henrique da Silva akiwapangua wachezaji wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Azam FC katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Gymkhana mjini Dar es Salaam leo asubuhi. Simba imeshinda 3-0 mabao yake yakifungwa na kiungo Msudan, Sharaf Eldin Shiboub, Wilker da Silva na beki mzawa, Kennedy Wilson
Beki wa kati wa Simba SC, Kennedy Wilson (kulia) akitafuta mbinu za kuwapita wachezaji wa Azam
Beki wa Simba SC, Gerson Fraga Vieira akitafuta namna ya kumpita mchezaji wa Azam FC
Beki Muiviory Coast, Serge Pascal Wawa akimdhibiti mchezaji wa Azam FC
Beki wa kulia, Shomary Kapombe akitafuta namna ya kuwapita wachezaji wa Azam FC
Kiungo Ibrahim Ajibu akimiliki mpira katikati ya wachezaji wenzake
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
1 minute ago
0 comments:
Post a Comment