Willian akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 76 kufuatia Jorginho kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo huo ukiwa ni ushindi wa kwanza kwa kocha Frank Lampard Uwanja wa Stamford Bridge kwenye ligi hiyo PICHA ZADI GONGA HAPA
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment