Willian akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 76 kufuatia Jorginho kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo huo ukiwa ni ushindi wa kwanza kwa kocha Frank Lampard Uwanja wa Stamford Bridge kwenye ligi hiyo PICHA ZADI GONGA HAPA
Busingye urges youth to be ambassadors of change
-
The Minister for Justice, Johnston Busingye, has called on the youth to
stand up for human rights and leverage their power to change the world for
the be...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment