Kinda wa miaka 16, Anssumane Fati 'Ansu Fati' akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao dakika ya pili katika ushindi wa 5-2 dhidi ya Valencia kwenye mchezo La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hilo likiwa ba lake la pili tangu apandishwe. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Frenkie de Jong dakika ya saba, Gerard Piqué dakika ya 51 na Luis Suarez mawili, dakika ya 61 na 82, wakati ya Valencia yamefungwa na Kevin Gameiro dakika ya 27 na Maximiliano Gómez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment