• HABARI MPYA

    Saturday, September 28, 2019

    TRIANGLE UNITED YAIGONGA 1-0 TENA AZAM FC NA KUITUPA NJE KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

    Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya Abbas akimlamba chenga mchezaji wa Triangle United jioni ya leo Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo, Zimbabwe katika mchezo wa marudiano Raundi ya Pili Kombe la Shirikisho Afrika.  Triangle United imeshinda 1-0 na kusonga mbele kwa ushindi wa 2-0 baada ya kushinda 1-0 pia ugenini wiki mbili zilizopita mjini Dar es Salaam
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TRIANGLE UNITED YAIGONGA 1-0 TENA AZAM FC NA KUITUPA NJE KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top