Riyad Mahrez akishanglia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 71 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 24 na Raheem Sterling dakika ya 84, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 33. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment