Cristiano Ronaldo akiwa ameshika kichwa baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kuifungia timu yake bao ambalo lingekuwa la ushindi, Juventus ikitoa sare y 2-2 na wenyeji Atletico Madrid kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Juventus ilitangulia kwa mabao ya Juan Cuadrado dakika ya 48 Blaise Matuidi dakika ya 68 kabla ya Atletico Madrid kusawazisha kupitia kwa Stefan Savic dakika ya 70 na Hector Herrera dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment