• HABARI MPYA

    Friday, September 20, 2019

    KINDA WA MIAKA 17 AIPA USHINDI MAN UNITED EUROPA LEAGUE

    KINDA wa miaka 17, Mason Greenwood akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao pekee dakika ya 73 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Astana kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford hilo likiwa bao lake la kwanza kabisa timu ya wakubwa kufuatia kupandishwa kutoka akasemi ya klabu 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KINDA WA MIAKA 17 AIPA USHINDI MAN UNITED EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top