Mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza 3-2 Aston Villa Uwanja wa Emirates leo. Mabao mengine ya Arsenal iliyomaliza pungufu baada kinda wake Ainsley Maitland-Niles kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 41 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kucheza rafu, yalifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 59 na Callum Chambers dakika ya 81, wakati ya Villa yalifungwa na John McGinn dakika ya 20 na Wesley dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Washington wins NBA draft lottery, chance to pick No. 1 overall on June 23
-
The league’s worst team this season is getting the No. 1 pick in the NBA
draft. The Washington Wizards won the draft lottery on Sunday and are
poised to pi...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment