Mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza 3-2 Aston Villa Uwanja wa Emirates leo. Mabao mengine ya Arsenal iliyomaliza pungufu baada kinda wake Ainsley Maitland-Niles kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 41 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kucheza rafu, yalifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 59 na Callum Chambers dakika ya 81, wakati ya Villa yalifungwa na John McGinn dakika ya 20 na Wesley dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment