Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Ureno mabao manne dakika za saba kwa penalti, 61, 65 na 76 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Lithuania kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Vilniaus LFF mjini Vilnius. Bao lingine la Ureno lilifungwa na William Carvalho dakika ya 90 na ushei, wakati la Lithuania limefungwa na Vytautas Andriuskevicius dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why 2025 feels like NFL 'snow globe's been shaken'
-
The Kansas City Chiefs have made an early exit from the NFL play-off race,
leaving the road to the Super Bowl open. Who are the pretenders to their
throne?
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment