• HABARI MPYA

    Wednesday, September 11, 2019

    COMAN AFUNGA TENA, UFARANSA YASHINDA 3-0 KUFUZU EURO 2020

    Nyota wa Bayern Munich, Kingsley Coman akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Andorra kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Clement Lenglet dakika ya 52 na Wissam Ben Yedder dakika ya 90 na ushei, wakati Antoine Griezmann alikosa penalti dakika ya 28 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COMAN AFUNGA TENA, UFARANSA YASHINDA 3-0 KUFUZU EURO 2020 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top