Nyota wa Bayern Munich, Kingsley Coman akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Andorra kwenye mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Clement Lenglet dakika ya 52 na Wissam Ben Yedder dakika ya 90 na ushei, wakati Antoine Griezmann alikosa penalti dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gordon Elliott: Dead horse photo sees Irish trainer banned in Britain
-
Leading Irish trainer Gordon Elliott is temporarily banned from racing in
Britain after being pictured sat on a dead horse.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment