Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili England dakika za 44 na 45 na ushei katika ushindi wa 5-3 dhidi ya Kosovo kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020 jana Uwanja wa St. Mary's mjini Southampton, Hampshire. Mabao mengine ya England yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 19 na Mergim Vojvoda aliyejifunga dakika ya 38, wakati ya Kosovo yalifungwa na Valon Berisha mawili dakika ya kwanza na 49 na Vedat Muriqi kwa penalti dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roger Federer Withdraws from 2021 Miami Open Ahead of Return from Injury
-
Roger Federer has withdrawn from the Miami Open scheduled to begin on March
24 as he makes his return from a knee injury. His agent told the Associated
Pre...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment