Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili England dakika za 44 na 45 na ushei katika ushindi wa 5-3 dhidi ya Kosovo kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020 jana Uwanja wa St. Mary's mjini Southampton, Hampshire. Mabao mengine ya England yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya nane, Harry Kane dakika ya 19 na Mergim Vojvoda aliyejifunga dakika ya 38, wakati ya Kosovo yalifungwa na Valon Berisha mawili dakika ya kwanza na 49 na Vedat Muriqi kwa penalti dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment