Mshambuliaji wa Simba SC, Mnyarwanda Meddie Kagere (kulia) akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 jioni ya leo Uwanja w Uhuru mjini Dar es Salaam kabla ya mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar baada ya kuibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mwezi Agosti. Kagere aliuanza vizuri mwezi Septemba pia baada ya kufunga katika ushindi wa 2-1 leo
Murray & Kennys on learning about 'superhero' Hoy's cancer
-
Olympic champions Andy Murray and Laura and Jason Kenny recall the moment
their friend Chris Hoy revealed his cancer diagnosis to them.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment