• HABARI MPYA

    Friday, September 13, 2019

    MEDDIE KAGERE ALIVYOKABIDHIWA HUNDI YAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA LIGI KUU MWEZI AGOSTI

    Mshambuliaji wa Simba SC, Mnyarwanda Meddie Kagere (kulia) akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 jioni ya leo Uwanja w Uhuru mjini Dar es Salaam kabla ya mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar baada ya kuibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mwezi Agosti. Kagere aliuanza vizuri mwezi Septemba pia baada ya kufunga katika ushindi wa 2-1 leo  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MEDDIE KAGERE ALIVYOKABIDHIWA HUNDI YAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA LIGI KUU MWEZI AGOSTI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top