Mshambuliaji wa Simba SC, Mnyarwanda Meddie Kagere (kulia) akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 jioni ya leo Uwanja w Uhuru mjini Dar es Salaam kabla ya mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar baada ya kuibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mwezi Agosti. Kagere aliuanza vizuri mwezi Septemba pia baada ya kufunga katika ushindi wa 2-1 leo
FCF 2021 Results: Johnny Manziel Sits with Injury; Beasts Now 3-0 After Week 3
-
Week 3 of Fan Controlled Football began with the news that Johnny Manziel
would be unable to suit up for the Zappers and ended with his team earning
its fi...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment