Kingsley Coman akiifungia Ufaransa katik ushindi wa 4-1 dhidi ya Albania usiku wa jana katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Coman alifunga mabao yake dakika ya nane 8 na 68, huku mengine yakifungwa na Olivier Giroud dakika ya 27 na Nanitamo Jonathan Ikone dakika ya 85, kabla ya Sokol Cikalleshi kuwafungia bao la kufutia machozi wageni kwa penalti dcakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghanaian youngster Benjamin Tetteh season's 4th goal in Yeni Malatyaspor away loss to Denizlispor
-
Ghanaian striker Benjamin Tetteh scored for Yeni Malatyaspor in their
defeat to Denizlispor in the a 5-goal thriller in the Turkish Superlig on
Saturday.Ma...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment