Kingsley Coman akiifungia Ufaransa katik ushindi wa 4-1 dhidi ya Albania usiku wa jana katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Coman alifunga mabao yake dakika ya nane 8 na 68, huku mengine yakifungwa na Olivier Giroud dakika ya 27 na Nanitamo Jonathan Ikone dakika ya 85, kabla ya Sokol Cikalleshi kuwafungia bao la kufutia machozi wageni kwa penalti dcakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stephanie Sparks dead at 50: Former Golf Channel host, USA Curtis Cup and
LPGA player passes away
-
Stephanie Sparks, the host of Golf Channel's 'Big Break', passed away last
week at age 50. Sparks was an All-American college golfer at Duke and
hosted sev...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment