Nahodha, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 49 na 73 kwa penalti ikiichapa Bulgaria 4-0 katika mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020. Bao lingine la Simba Watatu lilifungwa na Raheem Sterling dakika ya 55, tena kwa pasi ya Kane na kwa ushindi huo, England inapaa kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers 3-0 St Mirren: Steven Gerrard's side are now just ONE POINT from the Scottish title
-
GRAEME CROSER AT IBROX: It's now close enough to touch. From the way
Gerrard's players celebrated, there was a public acknowledgment that ten
years of pain...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment