Nahodha, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 49 na 73 kwa penalti ikiichapa Bulgaria 4-0 katika mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020. Bao lingine la Simba Watatu lilifungwa na Raheem Sterling dakika ya 55, tena kwa pasi ya Kane na kwa ushindi huo, England inapaa kileleni PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester sack Kirk after relationship allegation
-
Leicester City sack manager Willie Kirk, who had been suspended by the
Women's Super League club.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment