Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 83 dhidi ya mabingwa wa England, Leicester City katika mchezo wa Ngao ya Jamii kuashiria kupenuliwa kwa pazia la msimu mpya jioni ya leo Uwanja wa Wembley, London. Man United imeshinda 2-1, baada ya Jesse Lingard kuanza kufunga dakika ya 32, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester dakika ya 32 kwa pasi boko ya Marouane Fellaini na Ibrahimovic kupiga la ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League suffer yet ANOTHER critical blow in UEFA coefficient
rankings after West Ham and Liverpool Europa League defeats... with hopes
of earning an extra Champions League spot all but over
-
It would take Aston Villa winning all of their remaining Europa Conference
League games and for German clubs to have an absolute disaster in their
European...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment