• HABARI MPYA

    Sunday, August 07, 2016

    IBRA CADABRA APELEKA TAJI LA KWANZA MAN UNITED

    Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 83 dhidi ya mabingwa wa England, Leicester City katika mchezo wa Ngao ya Jamii kuashiria kupenuliwa kwa pazia la msimu mpya jioni ya leo Uwanja wa Wembley, London. Man United imeshinda 2-1, baada ya Jesse Lingard kuanza kufunga dakika ya 32, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester dakika ya 32 kwa pasi boko ya Marouane Fellaini na Ibrahimovic kupiga la ushindi  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IBRA CADABRA APELEKA TAJI LA KWANZA MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top