Mfungaji wa bao pekee la West ham United katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth, Michail Antonio (kulia) akiwania mpira dhidi ya Adam Smith (kushoto) ana Andrew Surman (katikati) katika mchezo wa kwanza wa timu yake kwenye Uwanja wao mpya, Uwanja wa Olimpiki, London. Antonio alifunga dakika ya 85 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump vows to hit Iran 'very hard' as Iranian president apologises to Gulf
nations for attacks
-
President Masoud Pezeshkian says Iran won't attack first - but Qatar
defence ministry says it has intercepted a missile.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment