Mfungaji wa bao pekee la West ham United katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth, Michail Antonio (kulia) akiwania mpira dhidi ya Adam Smith (kushoto) ana Andrew Surman (katikati) katika mchezo wa kwanza wa timu yake kwenye Uwanja wao mpya, Uwanja wa Olimpiki, London. Antonio alifunga dakika ya 85 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea host Man Utd in Women's FA Cup - see full fifth-round draw
-
Holders Chelsea will take on Manchester United in the fifth round of the
Women's FA Cup - a repeat of last year's final.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment