• HABARI MPYA

    Sunday, August 21, 2016

    WEST HAM UNITED YATAKATA ENGLAND, HAMUDU YAIPOEZA KIDUDE, BOURNEMOUTH

    Mfungaji wa bao pekee la West ham United katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth, Michail Antonio (kulia) akiwania mpira dhidi ya Adam Smith (kushoto) ana Andrew Surman (katikati) katika mchezo wa kwanza wa timu yake kwenye Uwanja wao mpya, Uwanja wa Olimpiki, London. Antonio alifunga dakika ya 85 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WEST HAM UNITED YATAKATA ENGLAND, HAMUDU YAIPOEZA KIDUDE, BOURNEMOUTH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top