• HABARI MPYA

    Wednesday, August 24, 2016

    BATSHUAYI APIGA MBILI CHELSEA IKISHINDA 3-2 ENGLAND

    Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili katika ushindi wa 3-2 Uwanja wa Stamford Bridge dhidi ya Bristol Rovers kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Victor Moses, wakati ya Bristol yalifungwa na Paul Hartley na  Ellis Harrison PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BATSHUAYI APIGA MBILI CHELSEA IKISHINDA 3-2 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top