Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili katika ushindi wa 3-2 Uwanja wa Stamford Bridge dhidi ya Bristol Rovers kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Victor Moses, wakati ya Bristol yalifungwa na Paul Hartley na Ellis Harrison PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MTN MoMoPay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment