Kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto akituliza mpira kifuani mbele ya kiungo wa JKT Ruvu, Hassan Dilunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo (kulia) akikimbilia mpira dhidi ya beki wa JKT Ruvu, Pera Mavuo
Kipa wa JKT Ruvu, Said Kipao akiwa ameruka juu kudaka mpira mrefu uliotokea pembeni
Beki wa JKT Ruvu, Rahim Juma akimuacha chini mshambuliaji wa Simba SC, Frederic Blagnon
Kiungo wa Simba SC akipasua kwenye msitu wa mabeki wa JKT Ruvu
Salim Aziz Gilla wa JKT Ruvu (kulia) akiuzuia mpira dhidi ya kiungo wa Simba SC, Jamal Mnyate
Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimtoka kiungo wa JKT, Ismail Amour
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib (kulia) akimtoka beki wa JKT Ruvu, Rahim Juma
'Athletes' lives at risk at Enhanced Games'
-
Athletes' lives could be at risk if the Enhanced Games are allowed to go
ahead, says Australian Sports Commission boss Kieren Perkins.
SolaX Power wird Partner von Borussia Dortmund
-
SolaX Power ist neuer Partner von Borussia Dortmund. Erstmals arbeitet der
BVB mit einem PV-Energiespeicherunternehmen zusammen. Diese internationale
Koope...
Young Gun: Nathan Butler-Oyedeji
-
We catch up with a member of our under-21s squad, Nathan Butler-Oyedeji,
who discusses growing up in East London and more
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment