Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akipambana na mshambuliaji wa Mali, Adama Traore wa TP Mazembe katika mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika leo Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Mazembe imeshinda 3-1.
Adama Traore akimiliki mpira pembeni ya beki wa Yanga, Hassan Kessy
Adama Traore akimfunga tela Hassan Kessy
Adama Traore akipambana na kiungo Mzimbabwe wa Yang, Thabani Kamusoko
Beki wa Yanga, Mbuyu Twite akipambana na mchezaji wa TP Mazembe
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment