Washiriki wa shindano la Miss High Learning Institution 2016 wakiwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom ya Tanzania Bara kati ya wenyeji, Yanga SC na African Lyon. Yanga ilishinda 3-0 na shindano hilo litafanyika Septemba 3, 2016 ukumbi wa TCC Club, Chang'ombe, Dar es Salaam likisindikizwa na burudani ya Rapa Ney wa Mitego, Msaga Sumu na QS Internation Band.
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment