Kikosi cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, maarufu kama Serengeti Boys kikiwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar kabla ya moja ya mechi zao za michuano ya Afrika Mashariki na Kati iliyofanyika visiwani humo mapema mwaka 2004. Wa kwanza kushoto aliyesimama ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Subira Mambo (sasa marehemu).
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment