• HABARI MPYA

    Wednesday, August 31, 2016

    STOKE CITY YAMSAJILI KWA MKOPO BONY

    Stoke City imekamilisha usajili wa mkopo wa mshambuliaji Wilfried Bony kutoka Manchester City, zote za England. The Potters wamelipa ada ya Pauni Milioni 2 na watakuwa wanampa mshahara wa Pauni 120,000 kwa wiki Bony PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STOKE CITY YAMSAJILI KWA MKOPO BONY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top