Kipa wa Steaua Bucharest, Valentin Cojocaru akiushuhudia mpira wa kichwa wa Fabian Delph ukifanya safari ya kuelekea nyavuni kuifungia Manchester City bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Etihad. Man City imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-0 baada ya kushinda 5-0 katika mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United star, 37, rolls back the years with stunning free-kick -
as Bruno Fernandes and Harry Maguire share wholesome celebration
-
He already had three goals and 10 assists to his name in just 20 league
games this season, yet he stepped up again in one of Victory's biggest
games of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment