• HABARI MPYA

    Sunday, August 07, 2016

    LIVERPOOL YAKUNG'UTWA 4-0 SAA CHACHE TU BAADA YA KUICHAPA BARCA 4-0 PIA

    Mshambuliaji Mcolombia wa Mainz ya Ujerumani, Jhon Cordoba akipiga shuti mbele ya beki wa Liverpool, Joel Matip kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 44 katika ushindi wa 4-0 Uwanja wa  Opel Arena. Mabao mengine ya Mainz yalifungwa na Daniel Brosinski dakika ya 15 kwa penalti, Yunus Malli dakika ya na Yoshinori Muto dakika ya katika mchezo uliofanyika siku moja baada ya Liverpool kuifunga Barcelona 4-0 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAKUNG'UTWA 4-0 SAA CHACHE TU BAADA YA KUICHAPA BARCA 4-0 PIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top