Alvaro Morata akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kuongoza dakika ya 60 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Celta Vigo leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real lilifungwa na Toni Kroos dakika ya 81, baada ya Fabian Orellana kuisawazishia Celta Vigo dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump vows to hit Iran 'very hard' as Iranian president apologises to Gulf
nations for attacks
-
President Masoud Pezeshkian says Iran won't attack first - but Qatar
defence ministry says it has intercepted a missile.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment