Kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu ikishinda 3-0 dhidi ya wenyeji, Watford jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Santi Cazorla kwa penalti na Alexis Sanchez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment