Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United star, 37, rolls back the years with stunning free-kick -
as Bruno Fernandes and Harry Maguire share wholesome celebration
-
He already had three goals and 10 assists to his name in just 20 league
games this season, yet he stepped up again in one of Victory's biggest
games of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment