Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgusting moment Miami player punches Indiana rival as he tries to
celebrate national championship win
-
Footage broadcast by ESPN well after the game had concluded showed the
Hurricanes' Fletcher Jr. launching a punch at Tyrique Tucker of the
Hoosiers.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment