Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment