• HABARI MPYA

    Saturday, August 27, 2016

    WATETEZI WA TAJI LEICESTER CITY WASHINDA 2-1 ENGLAND

    Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WATETEZI WA TAJI LEICESTER CITY WASHINDA 2-1 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top