Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akiruka kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa de Anoeta mjini Donostia-San. Bao lingine la Real lilifungwa na Marco Asensio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump vows to hit Iran 'very hard' as Iranian president apologises to Gulf
nations for attacks
-
President Masoud Pezeshkian says Iran won't attack first - but Qatar
defence ministry says it has intercepted a missile.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment