• HABARI MPYA

    Wednesday, August 31, 2016

    MANJI ALIVYOWAONGOZA WANA YANGA KUUAGA MWILI WA BABA YAKE DIDA

    Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji akitoa heshima zake za mwisho mbele ya mwili wa wa baba wa kipa wa timu yake, Deo Munishi 'Dida' leo Kanisa Katoliki, Chang'ombe, Temeke, Dar es Salaam.  

    Manji akisalimiana na wapenzi wa timu hiyo waliojitokeza kuuaga mwili wa baba yake Dida aliyefariki Jumapili, ambaye anasafrisihwa Kilimanjaro kwa mazishi



    Ivo Mapunda na Muhogo Mcbhungu walihudhuria pia

    Makamu wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' alikuwepo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MANJI ALIVYOWAONGOZA WANA YANGA KUUAGA MWILI WA BABA YAKE DIDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top