Wachezaji wa Yanga SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Sayansi ya Jamii (sasa chuo cha Mwalimu Nyerere), Kigamboni, Dar es Salaam mwaka 2000 kujiandaa na moja ya mechi zao. Kutoka kushoto Said Mwamba ‘Kizota’ (sasa marehemu), Edibily Lunyamila, Freddy Mbuna, Jaffar Abbas na Mohammed Abdulkadir ‘Tash’ kwa nyuma. Hiyo ilikuwa kambi maarufu ya Yanga wakati wa uongozi wa Tarimba Abbas ‘Thabo Mbekhi’ mwaka 1998 hadi 2001
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment