Wachezaji wa Yanga SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Sayansi ya Jamii (sasa chuo cha Mwalimu Nyerere), Kigamboni, Dar es Salaam mwaka 2000 kujiandaa na moja ya mechi zao. Kutoka kushoto Said Mwamba ‘Kizota’ (sasa marehemu), Edibily Lunyamila, Freddy Mbuna, Jaffar Abbas na Mohammed Abdulkadir ‘Tash’ kwa nyuma. Hiyo ilikuwa kambi maarufu ya Yanga wakati wa uongozi wa Tarimba Abbas ‘Thabo Mbekhi’ mwaka 1998 hadi 2001
MLB Rumors: Blake Snell, Giants Agree to 2-Year, $62M Contract amid Astros
Buzz
-
The San Francisco Giants snagged the best starting pitcher still on the
market, agreeing to terms with Blake Snell on a two-year, $62 million
contract,…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment