Kiungo wa Simba SC, Justice Majabvi akipasua katikati ya wachezaji wa Mtibwa Sugar, Shaaban Nditi (kulia) na Salim Mbonde (kushoto) jana |
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib (kushoto) akimtoka bekii wa Mtibwa, Salim Mbonde |
Kiungo wa Simba SC, Mwinyi Kazimoto akiwatoka wachezaji wa Mtibwa Sugar kabla ya kukosa bao la wazi jana |
Kiungo wa Simba SC, Jonas Mkude akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Mtibwa, Shaaban Nditi jana |
Beki wa Mtibwa Sugar, Ally Shomary akimtoka beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' |
Mshambuliaji wa Simba SC, Mussa Mgosi (kulia) akimtoka beki wa Mtibwa Sugar, Dickson Daud (kushoto) |
Danny Lyanga wa Simba SC na Dickson Daud wa Mtibwa Sugar wakiwania mpira wa juu jana |
0 comments:
Post a Comment