• HABARI MPYA

    Monday, January 11, 2016

    CHELSEA YANG'ARA KOMBE LA FA, YAPIGA MTU 2-0 DARAJANI

    Mchezaji aliyetokea benchi kipindi cha pili, Ruben Loftus-Cheek (kushoto) akitelezea magoti kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dhidi ya Scunthorpe katika mchezo wa Kombe la FA jana Uwanja wa Staamford Bridge. Chelsea ilishinda 2-0, bao linginee likifungwa na Diego Costa   PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YANG'ARA KOMBE LA FA, YAPIGA MTU 2-0 DARAJANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top