Mchezaji aliyetokea benchi kipindi cha pili, Ruben Loftus-Cheek (kushoto) akitelezea magoti kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dhidi ya Scunthorpe katika mchezo wa Kombe la FA jana Uwanja wa Staamford Bridge. Chelsea ilishinda 2-0, bao linginee likifungwa na Diego Costa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Monaghan returns to captain Ireland against Italy
-
Second row Sam Monaghan returns from injury to captain Ireland against
Italy in the second round of the Women's Six Nations.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment