Beki wa Yanga SC, Juma Abdul (kushoto) akigombes mpira na beki wa URA, Allan Munaaba |
Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akimiliki mpira mbele ya beki wa URA, Jimmy Kulaba |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Amissi Tambwe akimtoka beki wa URA, Sam Senkoom |
Winga wa Yanga SC, Deus Kaseke akimtoka mchezaji wa URA jana |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma akitafuta maarifa ya kumpita beki wa URA, Sam Senkoom |
0 comments:
Post a Comment