Mchezaji wa Aston Villa, Jordan Veretout (kushoto) akipambana na mchezaji wa Leicester City, Marc Albrighton (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Villa Park. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la Villa likifungwa na Rudy Gestede likiwa la kusawazisha dakika ya 75, baada ya Shinji Okazaki kutangulia kuifungia Leicester dakika ya 28, katika mchezo ambao Riyad Mahrez aliwakosesha bao la ushindi The Foxes baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa Mark Bunn kipindi cha kwanza, kufuatia Aly Cissokho kuunawa mpira kwenye eneo la hatari baada ya shuti la Mualgeria huyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Loughnane takes victory in 86 secs on return to PFL
-
Manchester fighter Brendan Loughnane opens his PFL 2024 season with a
stoppage win over Pedro Carvalho.
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment