• HABARI MPYA

    Saturday, January 16, 2016

    RIYAD MAHREZ AKOSA PENALTI VILLA PARK, LEICESTER YATOA SARE 1-1 NA ASTON VILLA

    Mchezaji wa Aston Villa, Jordan Veretout (kushoto) akipambana na mchezaji wa Leicester City, Marc Albrighton (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Villa Park. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la Villa likifungwa na Rudy Gestede likiwa la kusawazisha dakika ya 75, baada ya Shinji Okazaki kutangulia kuifungia Leicester dakika ya 28, katika mchezo ambao Riyad Mahrez aliwakosesha bao la ushindi The Foxes baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa Mark Bunn kipindi cha kwanza, kufuatia Aly Cissokho kuunawa mpira kwenye eneo la hatari baada ya shuti la Mualgeria huyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RIYAD MAHREZ AKOSA PENALTI VILLA PARK, LEICESTER YATOA SARE 1-1 NA ASTON VILLA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top