Kiungo wa Gabon, Rodrigue Moundougua (kulia) akijaribu kumpita beki wa Morocco, Abdessalam Benjelloun katika mchezo wa Kundi A Michuano ya Ubingwa wa Mataifa wa Afrika (CHAN) Uwanja wa Amahoro, Kigali, Rwanda usiku wa leo. Timu hizo zimetoka 0-0.
Rwanda iliyoshinda mchezo wa kwanza jioni 1-0 dhidi ya Ivory Coast sasa inaongoza Kundi A.
Rwanda iliyoshinda mchezo wa kwanza jioni 1-0 dhidi ya Ivory Coast sasa inaongoza Kundi A.
0 comments:
Post a Comment