• HABARI MPYA

    Sunday, March 22, 2026

    AL MASRY NAYO YATOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

    WENYEJI, CR Belouizdad wamefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya sare ya bila mabao na Al Masry usiku wa Jumamosi Uwanja wa Nelson Mandela, eneo la Baraki Jijni Algiers nchini Algeria.
    Kwa matokeo hayo, CR Belouizdad wanakwenda Nusu Fainali kwa faida ya bao la ugenini kufuatia sare ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali Machi 14 Uwanja wa New Suez mjini Suez nchini Misri.
    Siku hiyo, mshambuliaji Salah Mohsen alianza kuifungia Al Masry dakika ya 55, kabla ya winga wa kushoto, Mohamed Islam Belkhir kuisawazishia CR Belouizdad  dakika ya 46. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AL MASRY NAYO YATOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top