TIMU ya Simba SC imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na wenyeji, Pamba Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Ni Simba SC waliotangulia kwa bao la winga wa kushoto Muivory Coast, Alain Anicet Oura dakika ya 33, kabla ya mshambuliaji James Mwashinga kuisawazishia Pamba dakika tatu baadaye.
Kwa matokeo hayo, Simba SC inafikisha pointi 27 katika mechi ya 13 na kuendelea kubaki nafasi ya nne na Pamba Jiji FC inafikisha pointi 25 katika mechi ya 26, nayo inabaki nafasi ya tano.
Ni Simba SC waliotangulia kwa bao la winga wa kushoto Muivory Coast, Alain Anicet Oura dakika ya 33, kabla ya mshambuliaji James Mwashinga kuisawazishia Pamba dakika tatu baadaye.
Kwa matokeo hayo, Simba SC inafikisha pointi 27 katika mechi ya 13 na kuendelea kubaki nafasi ya nne na Pamba Jiji FC inafikisha pointi 25 katika mechi ya 26, nayo inabaki nafasi ya tano.


.png)
0 comments:
Post a Comment