• HABARI MPYA

    Sunday, February 03, 2019

    RASHFORD AFUNGA BAO PEKEE MAN UNITED YAWAPIGA LEICESTER 1-0

    Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Kwa ushindi huo, United inaendeleza rekodi nzuri chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solkjaer ikifikisha pointi 48 baada ya kucheza mechi na kupanda hadi nafasi ya tano ikiiteremsha Arsenal 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RASHFORD AFUNGA BAO PEKEE MAN UNITED YAWAPIGA LEICESTER 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top