Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 3-2 Schalke 04 3-2 katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa VELTINS-Arena mjini Gelsenkirchen nchini Ujerumani. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Sergio Aguero dakika ya 18 na Leroy Sane dakika ya 85, wakati ya Schalke 04 yalifungwa na Nabil Bentaleb yote kwa penalti dakika za 38 na 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment