Mshambuliaji kinda wa England mwenye asili ya Ghana, Callum Hudson-Odoi mwenye umri wa miaka 18 akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 84 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Malmo FF kwenye mchezo wa hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Olivier Giroud dakika ya 55 na Ross Barkley dakika ya 74 na kwa matokeo hayo Chelsea inasonga mbele kwa ushindi wa 5-1, kufuatia kushinda 2-1 kwenye mchezo wa kwanza pia nchini Sweden PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment