• HABARI MPYA

    Sunday, February 24, 2019

    MALOTA ALIVYOMKOSAKOSA PAUL RWECHUNGURA KIRUMBA 1991

    KIPA Paul Rwechungura wa Pamba SC akiwa amedaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Malota Soma ‘Ball Jagler’, huku beki James Washokera (kulia) akiwa tayari kutoa msaada katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sisi Ligi Kuu) Tanzania Bara Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza mwaka 1991
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MALOTA ALIVYOMKOSAKOSA PAUL RWECHUNGURA KIRUMBA 1991 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top