Ross Barkley na Olivier Giroud wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Malmo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa Swedbank mjini Malmo. Barkley alifunga dakika ya 30 na Giroud dakika ya 58 kabla ya Anders Christiansen kuifungia Malmo dakika ya 80, huku kocha Maurizio Sarri akishusha presha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MTN FA Cup: Defending champions Dreams FC set to take on Soccer
Intellectuals in quarterfinals
-
Defending champions Dreams FC will enter the quarterfinals with optimism as
they have been drawn to face Soccer Intellectuals in this season's MTN FA
Cup.T...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment