Ross Barkley na Olivier Giroud wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Malmo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa Swedbank mjini Malmo. Barkley alifunga dakika ya 30 na Giroud dakika ya 58 kabla ya Anders Christiansen kuifungia Malmo dakika ya 80, huku kocha Maurizio Sarri akishusha presha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment