Beki wa Yanga SC, Zana Coulibally akimtoka beki wa Gardiel Michael katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0.
Kiungo wa Simba SC, Jonas Mkude akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Yanga, Feisal Salum na Amissi Tambwe
Wachezaji wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kushoto) na Juuko Murshid (kulia) wakipambana na Amissi Tambwe wa Yanga (katikati)
Kiungo wa Simba SC, James Kotei (kushoto) akitoa pasi pembeni ya kiungo wa Yanga, Feisal Salum (kulia)
Paulo Godfrey wa Yanga akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Mohammed Hussein 'Tshabalala'
Mashabiki wa Simba SC wakifurahia jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment