• HABARI MPYA

    Sunday, February 17, 2019

    SIMBA SC NA YANGA KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA

    Beki wa Yanga SC, Zana Coulibally akimtoka beki wa Gardiel Michael katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0. 
    Kiungo wa Simba SC, Jonas Mkude akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Yanga, Feisal Salum na Amissi Tambwe  
    Wachezaji wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kushoto) na Juuko Murshid (kulia) wakipambana na Amissi Tambwe wa Yanga (katikati) 
    Kiungo wa Simba SC, James Kotei (kushoto) akitoa pasi pembeni ya kiungo wa Yanga, Feisal Salum (kulia)  
    Paulo Godfrey wa Yanga akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Mohammed Hussein 'Tshabalala'
    Mashabiki wa Simba SC wakifurahia jana Uwanja wa Taifa 
    Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
    Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA YANGA KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top