Mshambuliaji Mnyarwanda wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki Mghana wa Simba SC, Yakubu Mohammed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 3-1
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akimtoka beki Mganda mwenzake, wa Azam FC, Nico Wadada
Beki Mburkinabe wa Simba SC, Zana Coulibaly (kushoto) akitafuta namna ya kumpita beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa
Kiungo Mzambia wa Azam FC, Clatous Chama (kushoto) akimlamba chenga beki Mghana wa Azam FC, Yakubu Mohammed
Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Simba SC
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Azam FC
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment