Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 43 kabla ya Gareth Bale kufunga la pili dakika ya 78, yote kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Levante ambayo bao lake lilifungwa na Roger Marti dakika ya 60 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 48 ikiendelea kushika nafasi ya tatu, nyuma ya Atletico Madrid yenye pointi 50 na Barcelona pointi 57 baada ya wote kucheza mechi 25 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment