• HABARI MPYA

    Monday, February 25, 2019

    BENZEMA, BALE WAFUNGA KWA PENALTI REAL YAICHAPA LEVANTE 2-1

    Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 43 kabla ya Gareth Bale kufunga la pili dakika ya 78, yote kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Levante ambayo bao lake lilifungwa na Roger Marti dakika ya 60 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 48 ikiendelea kushika nafasi ya tatu, nyuma ya Atletico Madrid yenye pointi 50 na Barcelona pointi 57 baada ya wote kucheza mechi 25 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BENZEMA, BALE WAFUNGA KWA PENALTI REAL YAICHAPA LEVANTE 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top