• HABARI MPYA

    Sunday, February 24, 2019

    ARSENAL YASHINDA 2-0 NA KUREJEA 'NNE BORA' ENGLAND

    Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 17 kufuatia Alexandre Lacazette kufunga la kwanza dakika ya sita The Gunners ikiilaza 2-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 27 ikirejea nafasi ya nne kwa kuizidi pointi moja Manchester United ambayo leo imelazimishwa sare ya bila kufungana na Liverpool Uwanja wa Old Trafford 
      
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YASHINDA 2-0 NA KUREJEA 'NNE BORA' ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top