Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 17 kufuatia Alexandre Lacazette kufunga la kwanza dakika ya sita The Gunners ikiilaza 2-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 27 ikirejea nafasi ya nne kwa kuizidi pointi moja Manchester United ambayo leo imelazimishwa sare ya bila kufungana na Liverpool Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The heartache that hampered Marcus Rashford: Mum reveals deaths of Man
United star's cousin and family friend 'set him back a lot' - and warns him
of 'people's intentions around him' after his partying problems
-
In a first-person piece published on Monday, Melanie Maynard said her son
struggled to come to terms with the loss of his cousin and a family friend.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment