Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 17 kufuatia Alexandre Lacazette kufunga la kwanza dakika ya sita The Gunners ikiilaza 2-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 27 ikirejea nafasi ya nne kwa kuizidi pointi moja Manchester United ambayo leo imelazimishwa sare ya bila kufungana na Liverpool Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment