Mshambuliaji Muargentina, Sergio Aguero akikimbia kishujaa kushangilia baada ya kukamilisha hattrick yake kwa mabao yake ya dakika ya kwanza, 44 na 61 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao pekee la Arsenal limefungwa na Laurent Koscielny dakika ya 11 na kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi 59 katika mechi ya 25, sasa ikizidiwa pointi mbili tu na Liverpool wanaongoza ambao hata hivyo wana mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A.J. Brown sparks Patriots trade rumors after he changes profile picture to
Tom Brady... but Eagles receiver says there's nothing in him honoring the
'greatest ever'
-
Eagles star A.J. Brown sparked trade rumors on Thursday when he changed his
profile picture on social media to Tom Brady.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment