Paul Pogba akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 45 akimalizia pasi ya Marcus Rashford kufuatia kumsetia Ander Herrera kufunga bao la kwanza dakika ya 31 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London kwenye mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la FA England na kwa matokeo hayo Mashetani Wekundu wanatinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment