Mshambuliaji wa Yanga SC, Edibily Jonas Lunyamila (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Simba SC, Mathias Mulumba katika mchezo wa Kombe La Hedex Juni 30, mwaka 1996 Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Yanga ilishinda 2-0, mabao ya Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ na Lunyamila aliyekuwa anacheza mechi hiyo akitokea Ujerumani ambako alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment