Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga kwa penalti dakika ya 43 kufuatia Gerard Pique kuchezewa rafu katika ushindi wa 1-0 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid kwenye mchezo wa La Liga jana usiku wa jana Uwanja wa Camo Nou. Messi alikosa penalti nyingine zikiwa zimesalia dakika sita na sasa Barcelona inaizidi kwa pointi saba Atletico Madrid kileleni mwa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Ashes LIVE: Aussie commentator apologises for his VERY rude swipe at
England
-
Get all the latest scores and updates as Ben Stokes's England team try to
bounce back after a mistake-riddled day two in Brisbane.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment